وارد شوید
وارد شوید
وارد شوید
انتخاب زبان

تفسیر: Ghafir ۴۴:۴۰

۴۴:۴۰
فستذكرون ما اقول لكم وافوض امري الى الله ان الله بصير بالعباد ٤٤
فَسَتَذْكُرُونَ مَآ أَقُولُ لَكُمْ ۚ وَأُفَوِّضُ أَمْرِىٓ إِلَى ٱللَّهِ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ بَصِيرٌۢ بِٱلْعِبَادِ ٤٤
فَسَتَذۡكُرُونَ
مَآ
أَقُولُ
لَكُمۡۚ
وَأُفَوِّضُ
أَمۡرِيٓ
إِلَى
ٱللَّهِۚ
إِنَّ
ٱللَّهَ
بَصِيرُۢ
بِٱلۡعِبَادِ
٤٤
به زودى سخنان مرا به یاد خواهید آورد؛ و من كار خود را به الله واگذار مى‌كنم؛ زیرا الله نسبت به [کردارِ] بندگان بیناست».
تفاسیر
لایه‌ها
درس ها
بازتاب ها
پاسخ‌ها
قیراط
حدیث
Alipowasihi na wasimkubalie aliwaambia, «Basi mtakumbuka kuwa mimi niliwasihi na nikawakumbusha, na mtajuta wakati ambao majuto hayatanufaisha. Na mimi ninahamia kwa Mola wangu nataka hifadhi Yake na ninamtegemea Yeye, hakika Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, ni Mtambuzi wa hali za waja na malipo wanayostahiki malipo, hakuna kinachofichamana Kwake chochote katika hayo.»