وارد شوید
وارد شوید
وارد شوید
انتخاب زبان

تفسیر: Ghafir ۶۹:۴۰

۶۹:۴۰
الم تر الى الذين يجادلون في ايات الله انى يصرفون ٦٩
أَلَمْ تَرَ إِلَى ٱلَّذِينَ يُجَـٰدِلُونَ فِىٓ ءَايَـٰتِ ٱللَّهِ أَنَّىٰ يُصْرَفُونَ ٦٩
أَلَمۡ
تَرَ
إِلَى
ٱلَّذِينَ
يُجَٰدِلُونَ
فِيٓ
ءَايَٰتِ
ٱللَّهِ
أَنَّىٰ
يُصۡرَفُونَ
٦٩
آیا ندیدی کسانی که دربارۀ آیات الهی مجادله می‌کنند، چگونه [از راه حق] منحرف می‌گردند؟
تفاسیر
لایه‌ها
درس ها
بازتاب ها
پاسخ‌ها
قیراط
حدیث
Je, huwaonei ajabu, ewe Mtume, hawa wakanushaji wa aya za Mwenyezi Mungu vile wanavyoshindana nazo, na hali hizo ziko wazi katika kutolea ushahidi upweke wa Mwenyezi Mungu na uweza Wake, ni vipi wao wanaziepuka pamoja na usahihi wake? Na wataenda kwenye kitu gani baada ya huu ufafanuzi kamili?