کسانی که كتاب [آسمانى] و پیام پیامبران ما را دروغ شمردند، به زودى [نتیجۀ کردارشان را] خواهند دانست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Washirikina hawa waliokanusha Qur’ani na Vitabu vya mbinguni Alivyoviteremsha Mwenyezi Mungu kwa Mitume Wake ili kuongoza watu, watajua wakanushaji hawa mwisho wa ukanushaji wao.