[ای پیامبر، بر آزار مشرکان] شکیبا باش که وعدۀ الهی حق است؛ و اگر برخى از مجازاتهایی را كه به آنان وعده دادهایم، [در زندگی] به تو بنماییم یا [پیش از نزول عذاب،] جان تو را بگیریم، در هر حال، به پیشگاه ما بازگردانده مىشوند [و راه گریزی از عذاب ندارند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi vumilia, ewe Mtume, na uendelee katika njia ya ulinganizi, hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni kweli na Atakutekelezea kile Alichokuahidi. Basi, ima tukuoneshe katika uhai wako sehemu ya adhabu tunayowaahidi hawa washirikina au tukufishe kabla ya hiyo adhabu kuwashukia, kwani ni kwetu sisi mwisho wao Siku ya Kiyama, na tutawaonjesha adhabu kali kwa yale waliokuwa wakiyakanusha.