اما ایمانآوردنشان هنگامی که عذاب ما را دیدند، هیچ سودی به آنان نداشت. [این] سنت الهی [که در هنگام عذاب، توبۀ کسی پذیرفته نمیگردد، همواره] در مورد بندگانِ الله جارى بوده است؛ و در این هنگام، کافران زیانكار شدهاند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Imani yao hiyo haikuwa ni yenye kuwanufaisha walipoiona adhabu yetu, kwa kuwa ni imani ambayo hawakuwa na budi nayo, na si Imani ya hiyari na kutaka. Huo ndio mpango na njia Aliyoiweka kwa ummah wote, kwamba Imani isiwanufaishe wanapoiona adhabu. Na itakapokuja adhabu ya Mwenyezi Mungu, wataangamia wenye kumkanusha Mola wao, wenye kukataa kumpwekesha na kumtii.