و اگر پس از رنجی كه به او رسیده است نعمتى به او بچشانیم قطعاً میگوید: «سختیها [و ناگواریها] از من دور شد». حقا که او [از روی ناسپاسی] سَرخوش و [به داشتن نعمتها] فخرفروش است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau tutamnyoshea mwanadamu dunia yake na tukamkunjulia riziki yake baada ya dhiki za maisha, atasema hapo, «Nimeondokewa na dhiki na shida.» Hakika yeye ni mwenye kujigamba kwa hizo neema, ni mwenye kuendelea sana katika kujifahiri na kujitukuza kwa watu.