[ای پیامبر،] این [برخی] از خبرهای آن [سرزمینها و] شهرهاست که آنها را برایت بازگو میکنیم؛ برخی از آنها [هنوز] پابرجاست و [برخی دیگر] ویران [گشته است].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Haya tuliyokutajia wewe, ewe Mtume, ni miongoni mwa habari za watu wa miji ambayo tuliwaangamiza watu wake, twakupasha habari zake. Na miongoni mwa miji hiyo kuna iliyo na athari zilizosalia; na miongoni mwazo kuna ambazo athari zake zimefutika, hakuna chochote katika hizo kilichosalia.