تا آسمانها و زمین [باقی] است، در آن [عذاب] جاودانند؛ مگر آنکه پروردگارت بخواهد [که موحدان گناهکار را از دوزخ خارج سازد]. بیتردید، پروردگارت آنچه را که بخواهد انجام میدهد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Watakuwa ni wenye kukaa humo milele muda wa kuweko mbingu na ardhi, hivyo basi adhabu yao haitakatika wala haitakoma, bali ni adhabu ya daima iliyotiliwa mkazo, isipokuwa iwapo Mola wako atataka, kwa kuwatoa waliompwekesha waliofanya maasia baada ya muda fulani wa kukaa kwao Motoni. Hakika Mola wako ni Mwenye kufanya Analolitaka.