کسانی که ایمان آوردهاند و کارهای شایسته کردهاند و در برابر پروردگارشان فروتنی نمودهاند، اینان یقیناً بهشتیاند [و] هم اینان در آن جاودانند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika wale ambao walimuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafanya matendo mema, wakanyenyekea kwa Mwenyezi Mungu katika kila walichoamrishwa na kukatazwa. Hao ndio watu wa Peponi, hawatakufa humo wala hawatatoka kabisa.