و اگر من بخواهم شما را نصیحت کنم، نصیحت کردنِ من سودی برایتان ندارد اگر الله بخواهد [که نابود و] گمراهتان سازد. او پروردگار شماست و [همگی] به سویش بازگردانده میشوید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Na hautawanufaisha nyinyi ushauri wangu na bidii yangu katika kuwalingania kwenye Imani, iwapo Mwenyezi Mungu Anataka kuwpoteza na kuwaangamiza. Yeye, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, Ndiye mwenye kuwamiliki, na Kwake Yeye mtarejeshwa kesho Akhera kwa kuhesabiwa na kulipwa.»