و هنگامی که فرمان [عذاب] ما فرارسید، هود و کسانی را که همراهش ایمان آورده بودند، به رحمتی از [جانب] خویش نجات دادیم و آنان را از عذاب سخت رهاندیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ilipokuja amri yetu kuwaadhibu watu wa Hūd, tulimuokoa Hūd na Waumini miongoni mwao kwa wema wetu juu yao na huruma, na tukawaokoa wao na adhabu kali Aliyoishukisha Mwenyezi Mungu kwa hao 'Ād, wakapambaukiwa na huku hakuna kionekanacho isipokuwa makazi yao.