ای قوم من، این مادهشترِ الله است که برای شما نشانهای است [بر درستیِ دعوتم]؛ پس بگذارید تا در زمینِ الله بچرد و آزاری به او نرسانید که [در غیر این صورت،] عذابی زودرس شما را فرامیگیرد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Na enyi watu wangu, huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, Amemjaalia ni hoja na alama ya kuonesha ukweli wangu katika yale ninayowaitia. Basi muacheni ale katika ardhi ya Mawenyezi Mungu, kwani chakula chake hakiko juu yenu. Na wala msimguse kumchinja, kwani nyinyi mkifanya hivyo itawapata adhabu kutoka Kwake kwa muda mfupi baada kumchinja.»