چنان که گویی هرگز در آن [دیار] نبودهاند. آگاه باشید! [قوم] ثمود به پروردگارشان کفر ورزیدند. هان! ثمود [از رحمت الهی] دور باد!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kama kwamba wao, kwa haraka ya kuondoka kwao na kutoeka kwao, hawakuishi humo. Jueni mtanabahi kwamba Thamūd walikanusha aya za Mola wao na hoja Zake. Jueni mtanabahi kwamba kuwa mbali na kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu ni kwa hao Thamūd; ni upotevu ulioje na unyonge ulioje huo wao.