اما چون دید به سوی آن [غذا] دست نمیبرند [و چیزی نمیخورند]، با آنان احساس بیگانگی کرد و [از بیم آنکه قصد جانش را داشته باشند،] ترسی از آنان به دل گرفت. [فرشتگان] گفتند: «نترس؛ ما به سوی قوم لوط فرستاده شدهایم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Alipoona Ibrāhīm kuwa mikono yao haifikikishwi kwenye yule mwanang>ombe aliyewaletea na kuwa wao hawamli, alikataa hilo kutoka kwao na akaingiwa na hisia ya uoga ndani ya moyo wake. Malaika wakasema, walipoona uoga uliomuingia Ibrāhīm, «Usiogope! Sisi ni Malaika wa Mola wako tumetumwa kwenda kwa watu wa Lūṭ kuwaangamiza.