[فرشتگان] گفتند: «آیا از فرمان الله تعجب میکنی؟ رحمت الله و برکاتش بر شما اهل خانه [نبوت] باد. بیتردید، او [تعالی در ذات و صفات و افعالش] ستودهای بزرگوار است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wajumbe walisema kumwambia , «Hivi wewe unaionea ajabu amri ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake? Rehema ya Mwenyezi Mungu na baraka Zake ziwashukie nyinyi, enyi watu wa nyumba ya unabii. Hakika Yeye, kutakata na kutukuka ni Kwake, ni mhimidiwa wa sifa na vitendo, ni Mwenye utukufu na ukubwa katika hizo.»