[فرشتگان گفتند:] «ای ابراهیم، از این [سخن] بگذر؛ [چرا که] به راستی فرمان [عذاب] پروردگارت فرارسیده است و مسلماً عذابی بازگشتناپذیر برایشان خواهد آمد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wajumbe wa Mwenyezi Mungu wakasema, «Ewe Ibrāhīm, uacha mjadala huu kuhusu mambo ya watu wa Lūṭ na kuwaombea huruma, kwani hakika ya mambo ni kwamba imithibiti juu yao adhabu na amri ya Mola wako aliyowapangia. Na wao, adhabu inayotoka Mwenyezi Mungu ni yenye kuwashukia, si yenye kuepushwa na wao wala kuzuiliwa..»