الر [= الف. لام. را]. این [قرآن] کتابی است که بر تو نازل کردیم تا مردم را به فرمان پروردگارشان، از تاریکیها[ی شرک و جهل] به روشنایی [ایمان و دانش] بیرون آوری؛ به راه [پروردگارِ] شکستناپذیرِ ستوده.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Alif, Lām, Rā. Hii Qur’ani ni kitabu tulichokuletea wahyi ili uwatoe binadamu kutoka kwenye upotevu na upotovu kuwapeleka kwenye uongofu na mwangaza, kwa idhini ya Mola wao na taufiki Yake kwao, kwenye Uislamu ambao ndio njia ya Mwenyezi Mungu Mwenye kushinda Anayehimidiwa kwa kila hali.