[آبی] که آن را جرعهجرعه میآشامد و [از فرطِ تعفن و تلخی،] فروبردنش آسان و گوارا نیست و مرگ از هر طرف به سویش رو میآورَد ولی نمیمیرد و عذابی سخت [و سهمگین] پیش رویِ اوست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenye kiburi atajaribu kumeza usaha na damu na vinginevyo vinavyotiririka mara kwa mara kutoka kwa watu wa Motoni, na hataweza kuzimeza kwa uchafu wake, umoto wake na uchungu wake. Na adhabu kali ya kila aina itamjia kwenye kila kiungo katika mwili wake. Hatakuwa ni mwenye kufa akapumzika. Na baada ya adhabu hii atapatiwa adhabu nyingine yenye kuumiza.