[مشرکان] همتایانی برای الله قرار دادند تا [مردم را] از راه او گمراه کنند. بگو: «[چند روزی از نعمتهای دنیا] بهره گیرید؛ که یقیناً بازگشتتان به سوی آتش [دوزخ] است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hawa makafiri walimfanya Mwenyezi Mungu ana washirika ambao waliwaabudu pamoja na Yeye, ili wawaepushe watu na Dini Yake. Waambie, «Stareheni katika maisha ya ulimwengu, kwani hayo ni upesi kuondoka, na marejeo yenu na kurudi kwenu ni kwenye adhabu ya Jahanamu.»