و از هر آنچه از او خواستید به شما بخشید؛ و اگر نعمت الله را بشمارید، [چنان فراوان است که] نمیتوانید آن را شمارش کنید. به راستی که انسان، [در حق خویش،] ستمکار [و نسبت به الله،] ناسپاس است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Akawapa nyinyi kila mlichomuomba. Na mkihesabu ili kujua idadi ya neema za Mwenyezi Mungu juu yenu, hamtaweza kuzihesabu na kudhibiti idadi yake wala kusimama itakikanavyo kushukuru kwa hizo kwa wingi wake na aina zake. Hakika Binadamu ni mwingi wa kujidhulumu nafsi yake, ni mwingi wa kukanusha neema za Mola wake.