این [قرآن] پیامی رسا براى مردم است [تا به وسیلۀ آن هدایت شوند] و با آن هشدار یابند و بدانند كه او تعالی معبودى یکتاست؛ و تا خردمندان پند گیرند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hii Qur’ani tuliyokuteremshia, ewe Mtume, ni maelezo na ni tangazo kwa watu, kwa kuwashauri na kuwatisha, na ili wawe na yakini kwamba Mwenyezi Mungu ni Mola Mmoja, wapate kumuabudu, Peke Yake, Asiye na Mshirika, na wapate kuwaidhika kwayo wenye akili timamu.