[جبرئیل] گفت: «[دستور] چنین است. پروردگارت فرمود: "این [کار] بر من آسان است و او را برای مردم نشانهای [از قدرتِ خویش] قرار میدهیم و [نیز] رحمتی از سوی ماست؛ و این [شیوۀ تولد،] امری انجامیافته [و حتمی] است"».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Malaika akasema kumwambia, «Mambo ni hivyo kama unavyoeleza kwamba hakuna binadamu aliyekugusa na hukuwa mzinifu, lakini Mola wako Amesema, ‘Jambo hili kwangu ni pesi, na ili mtoto huyu awe ni alama kwa watu yenye kuonesha uweza wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, na awe ni rehema itakayotokana na sisi kwake yeye, kwa mamake na kwa watu.’» Na kupatikana kwa Īṣā kinamna hii lilikuwa ni jambo lililokadiriwa katika Ubao uliohifadhiwa, basi hapana budi lifanyike.