و من پس از [مرگ] خود از خویشاوندانم [نسبت به حفظِ دین تو] بیمناکم و همسرم [نیز] نازاست؛ پس به لطف خویش [فرزندی به عنوان وارث و] یاور به من عطا فرما.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Na mimi ninaogopa kwamba jamaa zangu wa karibu na wenye kusimama na mimi wasije, baada ya kufa kwangu, wakaacha kuisimamia Dini yako vile inavyotakikana isimamiwe na wakaacha kuwalingania waja wako kuwaleta kwako, na mke wangu ni tasa hazai, basi nitunukie kutoka kwako mtoto awe ni mrithi na msaidizi.