پس از آنان، جانشینانى گمراه و ناشایست آمدند كه نماز را تباه ساختند [و در آن سهلانگارى نمودند] و از هوسها [و شهوات] پیروى كردند؛ و به زودى [کیفرِ] گمراهى [خویش] را خواهند دید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakaja, baada ya hawa walioneemeshwa, wafuasi wabaya, waliacha Swala kabisa au waliitoa nje ya wakati wake au waliacha nguzo zake na mambo yake ya lazima na wakafuata yanayolingana na kunasibiana na matamanio yao. Basi hao watapata shari na upotevu na kupita patupu ndani ya Jahanamu.