در آنجا سخن بیهودهای نمیشنوند [و گفتارشان] جز سلام [و تحیت نیست]؛ و در آنجا برایشان [هر] صبح و شام روزی [بیحساب فراهم] است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Watu wa Peponi hawatasikia maneno ya batili humo, lakini watasikia ‘salamu’ ikiwa ndio maamkizi yao. Na watapata riziki yao humo ya chakula na kinywaji daima, kila wanapotaka, asubuhi na jioni, haina kiasi wala hadi maalumu.