و چه بسیار شهرهایی که ساکنانش از [مردم] شَهرت که تو را از آنجا بیرون کردند، توانمندتر بودند؛ ما آنان را نابود کردهایم و هیچ یاوری [در برابر عذاب الهی] نداشتند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wengi miongoni mwa watu wa mijini walikuwa wana nguvu zaidi kuliko watu wa mji wako, ewe Mtume, ambao ni Makkah, waliokutoa watu wake humo. Watu wa miji hiyo tuliwaangamiza kwa adhabu za aina mbalimbali. Hawakuwa na msaidizi wa kuwanusuru kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu.