آیا [کافران] جز این انتظار دارند که قیامت ناگهان بر آنان فرارسد؟ همانا نشانههاى آن آشكار شده است. آنگاه كه قیامت فرارسد پندگرفتنشان چه سودی خواهد داشت؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakanushaji hawa hawangojei isipokuwa wakati wa Kiyama ambao wameahidiwa kuwa utawajia kwa ghafla. Kwani alama zake zishajitokeza na wao hawakunufaika nazo. Basi watapata wapi kukumbuka wakati wa Kiyama utakapowajia?