[ای پیامبر،] اگر مىخواستیم، آنان را به تو نشان میدادیم كه [باطن] آنان را از ظاهرشان بازشناسى؛ و مسلّماً از شیوه سخنشان به خوبى آنان را خواهى شناخت؛ و [بدانید که] الله از کارهایتان آگاه است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau tungalitaka, ewe Nabii, tungalikuonesha hao watu wenyewe, ukawatambua kwa alama zilizo wazi kwao. Na kwa hakika utawajua kutokana na maneno yao yaliyodhihirika yenye kuonyesha malengo yao. Na kwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, hakuna chochote kinachofichamana cha matendo ya wanaomtii wala matendo ya wanaomuasi, na Atamlipa kila mmoja kwa anachostahili.