و آنان را به بهشتی که [اوصافش را] برایشان بیان کرده است وارد خواهد نمود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na Awatie Peponi ambayo Aliwajulisha na Akawasifia, na Akawaafikia kusimama kuyafanya yale Ailyowaamrisha, na miongoni mwayo ni kufa shahidi katika njia Yake, kisha atawajulisha wao mashukio yao huko Peponi watakapoingia humo.