نوح گفت: «پروردگارا، آنها از من نافرمانی نمودند و از کسی پیروی کردند که مال و فرزندش، چیزی جز زیانکاری بر او نیفزوده است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Nūḥ alisema, «Mola wangu! Kwa hakika watu wangu wameendelea sana kuniasi na kunikanusha, na wanyonge miongoni mwao wakawafuata viongozi wapotevu ambao mali yao na watoto wao havikuwaongezea isipokuwa upotevu wa duniani na mateso ya Akhera.