[که اگر چنین کردید، الله] گناهانتان را میآمرزد و تا زمان معیّنی به شما مهلت میدهد؛ زیرا هنگامی که اجل الهی فرا رسد، تأخیر نخواهد داشت، اگر میدانستید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Atawasamehe dhambi zenu na kuwafinikia, atawarefushia umri wenu mpaka kipindi kilichokadiriwa katika ujuzi wa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka. Kwani kifo kikija hakicheleweshwi kabisa. Lau mngalijua hilo mngalifanya haraka kuamini na kutii.»