و اهالی «اَیکه» [= قوم شعیب] و قوم «تُبَّع»؛ هر یک [از آنان] پیامبران [الهی] را دروغگو شمردند؛ پس وعدۀ عذاب من [بر آنان] تحقّق یافت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na watu waliokuwa kwenye tuka la miti nao ni watu wa Shu'ayb, na watu wa Tubba' wa Himyar. Watu wote hao waliwakanusha Mitume wao, ikapasa juu yao adhabu ambayo Mwenyezi Mungu Aliwaonya nayo kwa ukafiri wao.