ما به آنچه [کافران] میگویند داناتریم؛ و تو [ای پیامبر،] بر آنان مسلط نیستی [که بخواهی آنان را به ایمان آوردن وادار کنی]؛ کسی را که از عذاب [و هشدار] من میترسد، به [وسیلۀ] قرآن اندرز بده.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sisi ni wajuzi zaidi kwa wanayoyasema hawa washirikina, ya kumzulia Mwenyezi Mungu urongo na kukanusha aya Zake. Na hukuwa wewe, ewe Mtume, umepewa nguvu juu yao ya kuwalazimisha waingie katika Uislamu, hakika ni kwamba wewe umetumilizwa uwe mfikishaji. Basi mkumbushe kwa Qur’ani anayeogopa onyo langu, kwa kuwa asiyeogopa onyo (la Mwenyezi Mungu) hafaidiki kwa kukumbushwa.