[ای پیامبر، به مشرکان] بگو: «چه کسی از آسمانها و زمین به شما روزی میدهد؟» [در پاسخ] بگو: «الله؛ و یقیناً [یک گروه از بین] ما و شما یا بر [راهِ] هدایت است یا در گمراهى آشكار».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, kuwaambia washirikina, «Ni nani anayewaruzuku kwa mvua kutoka mbinguni, na kwa mimea na madini na vinginevyo kutoka ardhini?» Hivyo basi hawana budi kukubali kuwa Yeye ni Mwenyezi Mungu. Na iwapo hawatakubali hilo, waambie, «Mwenyezi Mungu Ndiye Mwingi wa kuruzuku, na kwa hakika mojawapo wa mapote mawili, kati ya sisi na nyinyi, limejikita kwenye uongofu au limevama kwenye upotevu ulio wazi.»