و [کافران] میگویند: «اگر راستگویید، این وعدۀ [قیامت] کی خواهد بود؟»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hawa washirikina wanasema kwa njia ya shere, «Ni lini wakati wa Ahadi hii ambayo unatuahidi kuwa Mwenyezi Mungu Atatukusanya ndani yake kisha Ahukumu baina yetu, iwapo nyinyi ni wakweli katika kile mlichotuahidi kwacho?»