و در هیچ شهری بیمدهندای نفرستادیم، مگر اینکه ثروتمندانِ سرکشِ آنجا گفتند: «پیامى را كه مأمور به [ابلاغ] آن شدهاید، قطعاً انكار مىكنیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hatukutumiliza Mtume yoyote katika mji wowote alinganie kwenye kumwahidisha Mwenyezi Mungu na kumpwekesha katika ibada, isipokuwa wale wenye kuvama kwenye starehe na matamanio miongoni mwa watu wake huwa wakisema, «Hakika sisi kwa haya mliokuja nayo, enyi Mitume, ni wenye kukanusha.»