بگو: «حق [= اسلام] فرارسید و باطل [دیگر] نمیتواند [تأثیر و قدرت جدیدى] آغاز كند و نه [نفوذ گذشتهاش را] بازگردانَد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, «Ukweli na Sheria tukufu itokayo kwa Mwenyezi Mungu umekuja, na ubatilifu umeondoka na mamlaka yake yamepotea, hivyo basi ubatilifu haukusaliwa na kitu cha kukianzisha wala kukirudisha.»