و كسانى كه در [راهِ انكار و تکذیب] آیات ما کوشیدند تا [به پندار خویش] ما را درمانده کنند، عذابی سخت و دردناک [در پیش] دارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wale wanaotembea katika kuizuia njia ya Mwenyezi Mungu, kuwakanusha Mitume Wake na kuzitangua aya zetu huku wakiteta na Mwenyezi Mungu wakipinga amri Zake, hao watakuwa na adhabu mbaya zaidi na yenye ukali mwingi zaidi.