[ای پیامبر!] اگر ببینی هنگامی را که [کافران از مشاهدۀ عذاب] وحشتزده میشوند و [هیچ راهِ] گریزی نیست و آنان را از جای نزدیکی [که انتظارش را ندارند] دستگیر میکنند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau ungaliona, ewe Mtume, pindi watakapobabaika wakanushaji pale watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu, ungaliona jambo kubwa! Hawatakuwa na uokozi wala makimbilio na watachukuliwa hadi Motoni kutoka mahali karibu pa kutwaliwa.