و [سرانجام،] میان آنان و آنچه [از لذتهای دنیوی] که میل دارند جدایى افتاد؛ چنان كه پیش از این [نیز] با امثال [و همفكرانِ] اینان نیز چنین رفتاری شد [چرا که] یقیناً آنان [نیز نسبت به قیامت] سخت در تردید بودند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kutawekwa kizuizi baina ya wakanushaji na kile wanachokitamani cha toba na kurudi ulimwenguni wapate kuamini, kama vile Mwenyezi Mungu Alivyowafanya wale wanaofanana na wao miongoni mwa wakanushaji wa watu wa mataifa yaliyopita. Kwa kweli wao walikuwa duniani wako kwenye shaka yenye kutia wasiwasi na babaiko kuhusu jambo la Mitume, kufufuliwa na kuhesabiwa, na kwa hivyo hawakuamini.