کسانی که کفر ورزیدند [با تمسخر به یکدیگر] میگویند: «میخواهید مردی را به شما نشان دهیم که ادعا میکند وقتی [پس از مرگ] کاملاً متلاشی شدید، [بارِ دیگر] در آفرینشی نو درخواهید آمد؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na makafiri wanasema, wakiambiana wao kwa wao kwa njia ya shere, «Je, tuwaoneshe mtu ( wakimkusudia Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie) atakayewaambia kwamba nyinyi mkifa na miili yenu ikawa mbalimbali kabisa kuwa nyinyi mtahuishwa na mtafufuliwa kutoka makaburini mwenu» wanasema hayo kwa kupita kiasi katika kukanusha kwao.