آیا [این مرد] بر الله دروغ میبندد یا دیوانه است؟» [هرگز چنین نیست؛] بلکه کسانی که به آخرت ایمان ندارند، در عذاب [شدید آخرت] و گمراهی دور و دراز [دنیا] گرفتارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwani mtu huyu amemzulia Mwenyezi Mungu urongo, au ana wazimu na kwa hivyo anasema jambo asilolijua? Mambo si vile kama wanavyosema makafiri, bali Muhammad ni mkweli wa wakweli. Na wale wasioamini kufufuliwa na wasiofanya matendo ya kuwafaa huko, watakuwa kwenye adhabu ya milele huko Akhera, na wako kwenye upotevu wa mbali hapa duniani.