یا فرمانروایی آسمانها و زمین و آنچه بین آنهاست از آنِ آنان است؟ [اگر چنین است،] باید با وسایل [و امكانات خود به آسمان] اوج بگیرند [و مانع یا باعث نزول نعمتها گردند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Au kwani washirikina hawa wana mamlaka ya mbinguni na ardhini na vilivyoko baina ya viwili hivyo, hivyo basi wakatoa na kuzuia? Basi wazishikilie kamba zenye kuwafikisha mbinguni wapate kutoa uamuzi wanaoutaka wa kutoa na kuzuia.