گفت: «پروردگارا، مرا بیامرز و حكومتى به من ارزانى دار كه پس از من بىنظیر باشد [كه] بیتردید، تو بسیار بخشایندهای».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na akasema, «Mola wangu! Nisamehe dhambi zangu na unipe ufalme mkubwa unaohusika na mimi ambao mfano wake hautakuwa kwa binadamu yoyote baada yangu. Hakika yako wewe, uliotakasika na kutukuka, ni Mwingi wa upaji na utoaji.