[هنگام ورود دوزخیان به آتش، برخی از آنان به دیگران میگویند:] «این گروهی است که همراه شما [به آتش] داخل میشوند». [آنان پاسخ مىدهند:] «خوشامد بر آنان مباد! به راستی که به آتش درمىآیند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na watakapoufikia Moto, hao wenye kupita vipimo katika uasi, watatukanana wao kwa wao na watasema baadhi yao kuwaambia wengine, «Hili ni kundi kubwa la watu wa Motoni ni wenye kuingia pamoja na nyinyi.» Na wao wajibu, «Hawana makaribisho mema wala nyumba zao haziwaenei ndani ya Moto. Wao ni wenye kuungulika kwa joto lake kama tunavyoungulika sisi.»