[آنان به رهبران خود] میگویند: «بلکه بر شما خوشامد مباد؛ [زیرا] شما بودید که این [عذاب] را پیش پای ما نهادید. پس [دوزخ] چه بد قرارگاهی است!»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo kundi la wafuasi litasema kuwaambia wale waliopita vipimo katika uasi, «Bali ni nyinyi msiokaribishwa vyema, kwa kuwa nyinyi ndio mliotusababishia makao ya Motoni kwa kule kutupoteza kwenu duniani, basi ubaya wa nyumba ya mtu kutulia ni Moto wa Jahanamu!»