آیا از میان [همۀ] ما، قرآن بر او نازل شده است؟» [چنین نیست که میگویند؛] بلکه آنان دربارۀ وحی من [بر تو] تردید دارند؛ بلکه هنوز عذاب [الهی] را نچشیدهاند [که چنین گستاخند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Je, amehusishwa Muhammad peke yake kwa kuteremshiwa Qur’ani bila ya sisi?» Bali wao wako kwenye shaka ya kuwa mimi nimekuletea wahyi wewe, ewe Mtume, na kukupa utume. Bali wao walisema hilo kwa kuwa hawajaonja adhabu ya Mwenyezi Mungu, na lau wangaliionja adhabu hawangalithubutu kusema waliyosema.