آنگاه از آن [درخت ممنوعه] خوردند و شرمگاهشان بر آنان نمایان شد و به قراردادن برگ [درختان] بهشت بر خود شروع کردند [تا عورتشان را بپوشانند]؛ و [اینچنین بود که] آدم از پروردگارش سرپیچی كرد و به بیراهه رفت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi Ādam na Ḥawwā’ wakala kutoka kwenye mti ambao Mwenyezi Mungu Aliwakataza nao, na papo hapo tupu zao zikafunuka, na kabla ya hapo zilikuwa zimesitiriwa na macho yao hayazioni. Hapo wakawa wanakata majani ya miti ya Peponi na kujiambisa nayo ili kufinika tupu zao zilizowafunuka. Na Ādam alienda kinyume na amri ya Mola wake na akapotea kwa kula kutoka kwenye mti ambao Mwenyezi Mungu Alimkataza asiukaribie.