[موسی] گفت: «پروردگار ما [همان] ذاتی است که به هر چیزی آفرینشِ [= ظاهر و ویژگیهای مناسب] او را بخشیده و سپس [آن را] هدایت نموده است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mūsā akamwambia, «Mola wetu ni Yule Ambaye Alikipa kila kitu umbile linalokifaa kulingana na uzuri wa utengezaji Wake kisha akamuongoza kila kiumbe uongofu kamili wa kunufaika kwa kile alichomuumbia Mwenyezi Mungu.»