و یقیناً من آمرزندۀ كسى هستم كه توبه كند و ایمان آورد و كاری شایسته کند و آنگاه بر هدایت [خود باقى] بماند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na mimi ni Mwingi wa kusamehe kwa anayetubia kutokana na dhambi zake na ukanushaji wake, akaniamini mimi na akafanya matendo mema kisha akaongoka kufuata njia ya ukweli na akasimama imara juu yake.